Table 3.
Original Australian SMS4dad messages adapted to Kenya’s SMS4baba messages
| Original Australian SMS4dad message | Harmonized back-translated adapted SMS4baba message in English | Adapted SMS4baba message in Swahili |
|---|---|---|
| Welcome | Welcome, thank you for enrolling to the SMS4Baba program. You will soon start receiving messages. Some messages will have links to additional resources. In case you have questions you can contact us through mobile phone number: +254XXX or visit our office, XXX at XXX Building… | Karibu, asante kwa kujiunga na programu ya SMS4Baba. Utaanza kupokea jumbe hivi karibuni. Jumbe zingine zitakuwa na links/muongozo ili upate habari zaidi. Ukiwa na swali wasiliana na sisi kwa nambari ya simu + 254XXX au tembelea ofisi yetu XXX at XXX Building… |
| 4dad: When tired or stressed parents sometimes think a crying baby is trying to upset them. Its OK dad, try to keep your cool. I’m just doing what babies do. | 4dad: “Dad, when you are tired or stressed you might think when I am crying, I am trying to upset you. It is okay dad, try to be patient. It is normal for children to cry as a way of communicating.” | “Baba, wakati umechoka, ama una mawazo mengi, waweza fikiria kuwa nikilia najaribu kukukasirisha. Ni sawa baba, jaribu kuwa na subira. Ni kawaida kwa watoto kulia kama njia ya kuwasiliana.” |
| 4dad: It is a myth that women know how to be a mother from instinct. This myth might make mums feel bad when things are not going well. | 4dad: It is a myth that women know how to parent from instinct. Such beliefs are not true and they might make mums feel bad when things are not going well during parenting. Dad, try and help mum to care for me well. | Watu huamini kuwa wanawake wanajua kulea watoto kupitia instinct. Imani kama hizi sio za ukweli na zinaweza fanya kina mama wahisi vibaya wakati kuna shida za malezi. Baba, jaribu umsaidie mama kunilea vyema. |
| 4dad: Feeling irritable or angry can be a sign of anxiety or depression. See your doctor if you are worried about these feelings. | 4dad: Feeling irritable or angry can be a sign of anxiety or depression. Try take a walk and clear your mind, or seek doctor’s advice if overwhelmed by these feelings. | Kuwa na hasira inaweza kuwa dalili ya huzuni/depression.Tafadhali jaribu kutembea nje kupata hewa na kutuliza akili, au pata ushauri wa daktari ikiwa hisia hizi zimezidi. |
| 4dad: My nervous system is ready to go. I may be startled by loud noises and I might even turn my head toward the sound of your voice. | 4dad: My nervous system is ready to go. I may be startled/shaken by loud noises outside mum’s womb. Dad, I might kick or turn my head toward the sound of your voice. Try and talk to me. | “Nervous system yangu (mfumo wa kuwasiliana mwilini) iko tayari. Ninaweza kushtuliwa na kelele kubwa nje ya tumbo ya mama. Baba, naweza kukick ama kuelekeza kichwa changu upande wa sauti yako. Jaribu kuzungumza nami.” |
| 4dad: Braxton-Hicks are practice contractions that get her body ready for labour. Mums usually feel these in the final months of pregnancy. | 4dad: Braxton-Hicks are practice contractions that get her body ready for labour. Mums usually feel these in the final months of pregnancy. If pains persist take expectant partner to hospital. | 4dad: Kufunga na kufunguka kwa misuli ya tumbo la uzazi (Braxton-hicks) ni njia ya mwili kujitayarisha kwa maumivu ya kujifungua (labour). Kawaida, kina mama huhisi hivi miezi ya mwisho ya uja uzito. Mpeleke mama hospitalini maumivu yakizidi. |
| 4dad: Hey dad I am arriving soon. Can you make the commitment to stop smoking? | 4dad: Hey dad I am arriving soon. Can you attempt to try and quit smoking, so I am born in a safe environment? | 4dad: “Habari baba, naja hivi karibuni. Je! Unaweza kujitolea kuacha sigara ili nizaliwe katika mazingira salama?” |
| 4Dad: Hey dad, did you know that drinking alcohol daily can cause health problems. | 4dad: Hey Dad. Did you know that alcohol consumption during pregnancy can cause birth defects e.g. premature birth, low birth weight or disabilities? Please help mum to keep me safe by avoiding taking alcohol. | 4dad: “Habari baba. Je unajua kuwa unywaji pombe wakati wa uja uzito unaeza leta kasoro za kuzaliwa (kama vile kuzaliwa kabla muda, kuwa na kilo kidogo au ulemavu)? Tafadhali msaidie mama anilinde vyema kwa kutokunywa pombe.” |